forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
667 B
Markdown
48 lines
667 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Haya ni maneno ya BWANA kwa watu wa Yuda.
|
|
|
|
# kama mtatoa hukumu ya haki kabia
|
|
|
|
"kama mtafanya kabisa"
|
|
|
|
# kama mtazitengeneza njia zenu na kufanya mema
|
|
|
|
Tazama 7:3
|
|
|
|
# kama mtatoa hukumu ya haki
|
|
|
|
"kama mtawatendea watu kwa haki
|
|
|
|
# kama hamtamnyonya ayekaa katika nchi
|
|
|
|
"kuwatendea vyema wageni wanaokaa katika nchi"''
|
|
|
|
# yatima
|
|
|
|
watoto ambao baba zao wameshafariki
|
|
|
|
# hamtamwaga damu ya mtu asiye na hatia
|
|
|
|
"hamtaua watu wasio na hatia."
|
|
|
|
# kama hataenda
|
|
|
|
"hamtaabudu"
|
|
|
|
# kwa ajili ya maumivu yenu
|
|
|
|
"ili kwamba vitu vibaya vkataokea kwako"
|
|
|
|
# mahali hapa
|
|
|
|
katika nchi ya Israeli
|
|
|
|
# nitawaacha mkae
|
|
|
|
"nitawaacha muishi"
|
|
|
|
# hata milele
|
|
|
|
"na milele"
|