forked from WA-Catalog/sw_tn
667 B
667 B
Taarifa kwa ujumla
Haya ni maneno ya BWANA kwa watu wa Yuda.
kama mtatoa hukumu ya haki kabia
"kama mtafanya kabisa"
kama mtazitengeneza njia zenu na kufanya mema
Tazama 7:3
kama mtatoa hukumu ya haki
"kama mtawatendea watu kwa haki
kama hamtamnyonya ayekaa katika nchi
"kuwatendea vyema wageni wanaokaa katika nchi"''
yatima
watoto ambao baba zao wameshafariki
hamtamwaga damu ya mtu asiye na hatia
"hamtaua watu wasio na hatia."
kama hataenda
"hamtaabudu"
kwa ajili ya maumivu yenu
"ili kwamba vitu vibaya vkataokea kwako"
mahali hapa
katika nchi ya Israeli
nitawaacha mkae
"nitawaacha muishi"
hata milele
"na milele"