forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
752 B
Markdown
36 lines
752 B
Markdown
# Hakika wataokota mabaki ya Israeli waliobaki kama zabibu
|
|
|
|
"Watarudikuwaangamiza Waisraeli waliobaki Israeli baada ya kuwa wamewaanagamiza."
|
|
|
|
# Hakika wata
|
|
|
|
Kiwakilishi "wa" kinawakilisha lile jeshi ambalo BWANA analituma kuiangmiza Israeli.
|
|
|
|
# Nyosha mkono wako
|
|
|
|
BWANA anaongea na adaui wanaowangamiza Israeli.
|
|
|
|
# Nyosha mkono wako ili uchume Zabibu
|
|
|
|
"Njoni muwaangamize Waisraeli."
|
|
|
|
# Nitamwambia nani
|
|
|
|
Yeremia anaongea
|
|
|
|
# Nitamwambaia nani na kumwonya nani ili wasikilize
|
|
|
|
"Hakunaaliyebaki kwangu wa kumwambian a kumwonya ili anisikilize."
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
BWANA anatumia neno hili "tazama" ili kusisitiza anachokisema.
|
|
|
|
# Masikio yao hayakutahiriwa
|
|
|
|
"Wanakataa kusikiliza" au "Wanakataa kutii"
|
|
|
|
# Masikio yao
|
|
|
|
"Kiwakilishi "yao" kinamaanisha Waisraeli.
|