sw_tn/jer/06/01.md

1022 B

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaongea

Tafuteni mahali salama

"iweni wakimbizi"

Pigenji tarumbeta

"enyi watu mnaoishi katika mji wa Tekoa jiandaeni kuangamizwa"

Tekoa

hili ni jinala mji ulio kilomita 18 kusini mwa Yerusalemu. Maana ya jina ni "pembe la kupuliza"

Simamisheni ishara juu ya Beth-Hakeremu,

"Enyi watu mnaoishi katika mji wa Beth-Hakeremu; jiandaeni kuzingirwa"

Beth-Hakeremu

Hili nij ina mji ulio kilomita 10kusini mwa Yerusalemu. Jna linamaanisha "mahali pa mizabibu."

ishara

"ishara ya kuwaonya watu kuwa kuna inakuja

kwa uovu unaoonekana

"kwa kuwa watu wanona kuwa kuna janga linalokuja"

pigo kubwa linakuja

"maangamizi makubwa"

Binti za Sayuni, warembo na mwororo

"Binti za Syuni ambao ni kama warembo na mwororo"

Binti za Sayuni

Tazama 4:30

wachungaji na kondoo wao watawaendea

"Wafame na wanajeshi wataizingira Yerusalemu

zikiwazunguka pande zote

"karibu naye pande zote

kila mtu atachunga kwa mkono wake

"kila mfalme ataangamiza akiwa na askari wake"