sw_tn/jer/05/10.md

852 B

Taarifa kwa ujumla

BWANA anaendelea kuongea

Nenda hadi kwenye shamba lake la mizabibu

Pandeni juu ya kuta zake. "BWANA anaulinganisha mji wa Yerusalemu na na shamba la mizabibu ambao una ukuta unaozunguka.

Panden juu

BWANA anawaambia adaui za watu wanaoishi Yerusalemu

msiwaharibu kaisa

"msiiwaangamize kabisa"

Ondoeni matawi kwa sababu hayatoki kwa BWANA

"Waondoeni watu wote waovu kwa sababu hawatoki kwa BWANA"

Kwa sababu ya nyumba za Yuda na Israeli

Kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda

Asema BWANA

Tazama 1:7

wamenikataa

"wamedanganya juu yangu"

Yeye si halsi

"Hawezi kufanya mambo haya

Maovu ahayawezi kutupata, wala hatutaona upanga wala njaa

Virai hivi viwili vunaongelea jambao moja tu, jamabo la pili liko wazi zaidi kuliko la kwanza.

wala hatutaona upanga wala njaa

"hatutakuwa na vita wala njaa"