forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
852 B
Markdown
44 lines
852 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
BWANA anaendelea kuongea
|
||
|
|
||
|
# Nenda hadi kwenye shamba lake la mizabibu
|
||
|
|
||
|
Pandeni juu ya kuta zake. "BWANA anaulinganisha mji wa Yerusalemu na na shamba la mizabibu ambao una ukuta unaozunguka.
|
||
|
|
||
|
# Panden juu
|
||
|
|
||
|
BWANA anawaambia adaui za watu wanaoishi Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
# msiwaharibu kaisa
|
||
|
|
||
|
"msiiwaangamize kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Ondoeni matawi kwa sababu hayatoki kwa BWANA
|
||
|
|
||
|
"Waondoeni watu wote waovu kwa sababu hawatoki kwa BWANA"
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu ya nyumba za Yuda na Israeli
|
||
|
|
||
|
Kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda
|
||
|
|
||
|
# Asema BWANA
|
||
|
|
||
|
Tazama 1:7
|
||
|
|
||
|
# wamenikataa
|
||
|
|
||
|
"wamedanganya juu yangu"
|
||
|
|
||
|
# Yeye si halsi
|
||
|
|
||
|
"Hawezi kufanya mambo haya
|
||
|
|
||
|
# Maovu ahayawezi kutupata, wala hatutaona upanga wala njaa
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vunaongelea jambao moja tu, jamabo la pili liko wazi zaidi kuliko la kwanza.
|
||
|
|
||
|
# wala hatutaona upanga wala njaa
|
||
|
|
||
|
"hatutakuwa na vita wala njaa"
|