forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
905 B
Markdown
32 lines
905 B
Markdown
# Je, Israeli ni mtumwa? kwani hakuzaliwa nyumbani? kwa nini sasa amekuwa nyara?
|
|
|
|
"Ninyi watu wa Israeli hamkuzaliwa watumwa; lakini sasa mmetekwa nyara na aduoi zenu."
|
|
|
|
# kwa nini sasa amekuwa nyara?
|
|
|
|
"Kila kitu mlichomiliki kimechukuliwa kwa nguvu"
|
|
|
|
# Wana simba wameunguruma zdhidi yake ... na kubaki bila watu
|
|
|
|
"Adui zenu wamewavamia wakiunguruma kama simba. Wameharibu nchi yenu na kuichoma miji yenu. ili kwamba hakuna awezaye kuishi ndani yake"
|
|
|
|
# Wanasimba wameunguruma
|
|
|
|
"Muungurumo ni sauti kali inayofanywa na wanyama wa wakali"
|
|
|
|
# wakazi
|
|
|
|
watu wanoishi katika eneo fulani
|
|
|
|
# Nufu na Tahapanesi
|
|
|
|
Ni miji ya Misri
|
|
|
|
# Watakinyoa kichwa chako
|
|
|
|
"watafanya kichwa chako kiwe na nyufa"
|
|
|
|
# Je, hamkufanya haya kwa ajili yenu mlipomwacha BWANA Mungu, wakati Mungu wenu alipokuwa akiwaongoza njiani?
|
|
|
|
"Mmeyasababisha haya ninyi wenyewe kwa kumwacha BWANA Mungu wenu wakati alipokuwa akiwaongoza njiani."
|