sw_tn/jdg/21/22.md

382 B

Tupeni neema

"tuonesheni upole sisi pamoja na watu wa Benyamini"

kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita

"kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita na Yabeshi Gileadi"

ninyi hamna hatia ... hamkuwapa wao binti zenu

Hapa wanaambiwa watu wa Shilo. Hawakuwatoa binti zao kwa watu wa Benyamini na hivyo hawakuvunja ahadi yao ya kutokufanya hivyo.