forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
339 B
Markdown
16 lines
339 B
Markdown
# walikuwa wanawapa amani
|
|
|
|
"Walitaka kufanya amani pamoja nao"
|
|
|
|
# Yabeshi Gileadi
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|
|
|
|
# hapakuwa na wanawake wa kutosha kwa wote
|
|
|
|
Kulikuwa na Wabenyamini mia sita na wanawake kutoka Yabeshi Gileadi walikuwa mia nne.
|
|
|
|
# alifanya mgawanyiko kati ya makabila ya Israeli.
|
|
|
|
"alisababisha makabila ya Israeli yasiwe na umoja"
|