sw_tn/jdg/20/22.md

237 B

walijitia nguvu wenyewe

Walijipa moyo wenyewe.

wakaunda mstari wa vita

Waisraeli waliandaa mistari yao ya kivita kwa ajili ya siku iliyofuata ya mapigano.

Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana

Kuhani alitegemea mapenzi ya Mungu.