sw_tn/jdg/20/08.md

442 B

kama mmoja

Hii inazungumzia kundi la watu ambalo lipo kama mtu mmoja.

Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake ... hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake

Sentensi hizi mbili zina maana moja na hapa zinaonesha msisitizo. "Tutakaa hapa wote"

Lakini sasa

Maneno haya yanaonesha ni kitu gani watu walikuwa wanazungumza.

kama kura inavyotuongoza

Hii inahusisha kuzungusha mawe madogo ili kujua Mungu anataka nini.