sw_tn/jdg/19/18.md

431 B

atakayenichukua nyumbani kwake

"atakayenikaribisha nyumbani kwake"

atakayenichukua

Hapa Mlawi alikuwa anamaanisha yeye pamoja na watumishi wake na masuria wake.

na kuna mkate na divai

"na kuna chakula cha kutosha na vinywaji"

yangu na mtumishi wako mwanamke hapa, na kwa kijana huyu pamoja na watumishi wako.

Mlawi anazungumza juu yake pamoja na wengine kama watumishi.

Hatujapungukiwa chochote

"Tuna kila kitu"