# Wabenyamini
Hawa ni uzao wa Benyamini.
# Aliinua macho
Hapa mtu aliangalia kwa makini kuona kilichopo pembeni yake. "alitizama juu"
# Njia kuu ya mji
Ni sehemu ya soko ambayo watu hukusanyika wakati wa mchana, ni njia kuu za mji.