sw_tn/jdg/19/16.md

237 B

Wabenyamini

Hawa ni uzao wa Benyamini.

Aliinua macho

Hapa mtu aliangalia kwa makini kuona kilichopo pembeni yake. "alitizama juu"

Njia kuu ya mji

Ni sehemu ya soko ambayo watu hukusanyika wakati wa mchana, ni njia kuu za mji.