sw_tn/jdg/19/14.md

273 B

Wakageuka huko

Hii ina maana ya kupumzika na kusimama mahali katikati ya safari.

Naye akaingia

"Naye" inamzungumzia Mlawi lakini pia inazungumzia pamoja na watumishi wake na suria wake.

aliyewaingiza nyumbani kwake

"atakayenikaribisha nyumbani kwake usiku huo"