forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
312 B
Markdown
12 lines
312 B
Markdown
# Yonathani ... Gershomu ... Musa
|
|
|
|
Hili ni jina la Mlawi aliyekuwa kuhani wa Mika.
|
|
|
|
# mpaka siku ya uhamisho wa nchi.
|
|
|
|
Hii ina maana ya kipindi ambacho watu wa Dani wachukuliwa mateka na adui zao. "mpaka siku ambayo adui waliiteka nchi yao"
|
|
|
|
# aliyoifanya
|
|
|
|
Mika hakuitengeneza miungu lakini fundi aliitengeneza.
|