sw_tn/jdg/18/30.md

312 B

Yonathani ... Gershomu ... Musa

Hili ni jina la Mlawi aliyekuwa kuhani wa Mika.

mpaka siku ya uhamisho wa nchi.

Hii ina maana ya kipindi ambacho watu wa Dani wachukuliwa mateka na adui zao. "mpaka siku ambayo adui waliiteka nchi yao"

aliyoifanya

Mika hakuitengeneza miungu lakini fundi aliitengeneza.