sw_tn/jdg/18/24.md

715 B

miungu niliyoifanya

Mika hakuitengeneza miungu lakini fundi aliitengeneza.

Je, nina nini tena?

"sijabakiwa na kitu" au "mmechukua kila kitu ambacho ni muhimu kwangu"

Unawezaje kuniuliza, 'Ni nini kinachokusumbua?

Mika anauliza hili swali akiwa na maana kuwa Wadani wanafahamu kitu kinachomsumbua.

Usiruhusu tusikie chochote unachosema

"Usirihusu tukagundua chochote ulichozungumza" au "usiseme chochote juu ya hili"

Kusikia ukisema chochote

"kukusikia ukisema chochote juu ya swala hili"

familia yako mtauawa

"na kuiuwa familia yako"

wakaenda zao

Hii ina maana ya kuwa wakaendelea na safari yao.

walikuwa na nguvu sana juu yake

Wadani walikuwa na nguvu sana juu ya Mika na watu wake.