sw_tn/jdg/16/28.md

319 B

Akamwita Bwana

"Akamwomba Bwana"

Nipe nia

"nikumbuke mimi"

mara moja tu

"kwa mara nyingine"

kwa wakati mmoja

Hii inamaanisha Samsoni anataka kulipiza kisasi ;lakini ili ikamilike inahitaji kitendo kimoja cha ngubu ambacho ni kuziangusha nguzo.

ambazo zinashikilia nyumba

"ambazo zinaishikilia jengo"