sw_tn/jdg/16/25.md

339 B

Mwite Samsoni ... Walimwita Samsoni

Kwa kuwa Samsoni alikuwa mfungwa hakuitwa moja kwa moja, bali watu walimuomba mtu aliyekuwa muhusika ili amlete Samsoni.

Kijana

Huyu hakuwa mtoto mdogo lakini alikuwa kijana.

Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba hii, ili nipate kuegemea

"Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba"