forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
339 B
Markdown
12 lines
339 B
Markdown
|
# Mwite Samsoni ... Walimwita Samsoni
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa Samsoni alikuwa mfungwa hakuitwa moja kwa moja, bali watu walimuomba mtu aliyekuwa muhusika ili amlete Samsoni.
|
||
|
|
||
|
# Kijana
|
||
|
|
||
|
Huyu hakuwa mtoto mdogo lakini alikuwa kijana.
|
||
|
|
||
|
# Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba hii, ili nipate kuegemea
|
||
|
|
||
|
"Niruhusu nishike nguzo zilizoshikilia nyumba"
|