sw_tn/jdg/16/23.md

275 B

Dagoni

Alikuwa mungu wa uongo wa Wafilisti.

amemshinda

"amemshinda"

kumtia katika ufahamu

Mwandishi anaonesha kuwa Samsoni alikuwa chini ya utawala wa Wafilisti.

mharibifu wa nchi yetu

"mtu aliyeharibu nchi yetu"

aliwaua wengi wetu

"mtu aliyeua watu wetu"