forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
414 B
Markdown
28 lines
414 B
Markdown
# alimwambia kila kitu
|
|
|
|
Alimwambia kila kitu juu ya asili ya nguvu zake.
|
|
|
|
# wembe
|
|
|
|
Hiki ni kifaa chenye makali kinachotumika kinyolea nywele.
|
|
|
|
# Mnaziri wa Mungu.
|
|
|
|
"alitolewa kwa Mungu kama Mnaziri"
|
|
|
|
# kutoka tumboni mwa mama yangu
|
|
|
|
"kabla sijazaliwa"
|
|
|
|
# Ikiwa kichwa changu kitanyolewa
|
|
|
|
"kama mtu atanyoa kichwa changu"
|
|
|
|
# Kunyoa
|
|
|
|
Ni kitendo cha kukata nywele.
|
|
|
|
# nguvu zangu zitaniacha
|
|
|
|
"sitakuwa na nguvu tena"
|