sw_tn/jdg/15/14.md

497 B

Alipofika

"Samsoni hakusafiri pekeyake, alikuwa akiongozwa na watu waliokuwa wamemfunga kwa kamba"

Lehi

Hili ni jina la mji uliopo Yuda.

akaja juu yake kwa nguvu

Roho wa Bwana alimchochea Samsoni. "akamfanya Samsoni kuwa na nguvu"

Kamba zilizokuwa juu ya mikono yake zikawa kama kitambaa cha kuteketezwa

"Alizikata kamba zilizokuwa mikononi mwake kwa urahisi kama kitambaa kilichokuwa kinateketezwa"

Kitambaa

Hiki kimetokana na mmea ambacho hutumika kutengenezea nyuzi na nguo.