forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
497 B
Markdown
20 lines
497 B
Markdown
|
# Alipofika
|
||
|
|
||
|
"Samsoni hakusafiri pekeyake, alikuwa akiongozwa na watu waliokuwa wamemfunga kwa kamba"
|
||
|
|
||
|
# Lehi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji uliopo Yuda.
|
||
|
|
||
|
# akaja juu yake kwa nguvu
|
||
|
|
||
|
Roho wa Bwana alimchochea Samsoni. "akamfanya Samsoni kuwa na nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Kamba zilizokuwa juu ya mikono yake zikawa kama kitambaa cha kuteketezwa
|
||
|
|
||
|
"Alizikata kamba zilizokuwa mikononi mwake kwa urahisi kama kitambaa kilichokuwa kinateketezwa"
|
||
|
|
||
|
# Kitambaa
|
||
|
|
||
|
Hiki kimetokana na mmea ambacho hutumika kutengenezea nyuzi na nguo.
|