sw_tn/jdg/14/14.md

434 B

Taarifa ya jumla:

Samsoni anawaambia kitendawili.

Kati ya mtu aliyekula kilikuwepo kitu cha kula

"kitu cha kula kilikuwepo ndani ya mtu aliyekula"

"aliyekula"

Inaweza kuelezewa kama "kitu kinachokula"

nje ya nguvu kilikuwa kitu tamu

"Kitu ambacho ni kitamu kimetoka kwenye kitu chenye nguvu"

yenye nguvu

"kitu chenye nguvu"

Wageni wake

"watu waliokuwepo kwenye shherehe"

Hawakupata jibu

"Hawakugundua jibu"