sw_tn/jdg/14/01.md

413 B

Samsoni akashuka kwenda Timna

Neno "kushuka" linatumika kwa sababu Timna ipo juu ya ilipokuwa nyumba ya baba yake na Samsoni. Timna ni jina la mji uliopo kwenye bonde la Soreki.

mmojawapo wa binti za Wafilisti.

"binti" ni njia moja wapo ya kuelezea kuwa mwanamke huyu alikuwa hajaolewa.

Sasa mkanichukulie awe mke wangu.

Samsoni aliwaomba wazazi wake wazungumze na wazazi wa yule mwanamke kuhusu ndoa.