sw_tn/jdg/13/21.md

200 B

kwamba yule ndiye malaika wa Bwana

"yule" inamuelezea yule mtu ambaye Manoa na mke wake walimuona.

Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu

"Mungu atatufanya tufe kwa sababu tumemuona yeye"