forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
305 B
Markdown
12 lines
305 B
Markdown
# Maneno yako
|
|
|
|
Haya ni maneno ambayo yule mtu aliyasema. "maneno uliyosema"
|
|
|
|
# kitu chochote kinachotokana na mizabibu
|
|
|
|
Hapa malaika anamaanisha chakula chochote kitokanacho na mizabibu.
|
|
|
|
# chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi
|
|
|
|
Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi
|