Maneno yako
Haya ni maneno ambayo yule mtu aliyasema. "maneno uliyosema"
kitu chochote kinachotokana na mizabibu
Hapa malaika anamaanisha chakula chochote kitokanacho na mizabibu.
chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi
Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi