sw_tn/jdg/13/12.md

305 B

Maneno yako

Haya ni maneno ambayo yule mtu aliyasema. "maneno uliyosema"

kitu chochote kinachotokana na mizabibu

Hapa malaika anamaanisha chakula chochote kitokanacho na mizabibu.

chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi

Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi