sw_tn/jdg/13/06.md

600 B

Mtu wa Mungu

Hii inamaanisha kuwa mtu huyu alitumwa na Mungu.

kuonekana kwake kulikuwa kama malaika wa Mungu, wa kutisha sana.

"Nilimwogopa kwa sababu alionekama kama malaika wa Mungu"

Tazama

"sikia"

Utazaa mtoto mwanaume

"kuzaa mtoto wa kiume" au "kuwa na mtoto wa kiume"

chakula chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi

Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi.

Mnaziri wa Mungu.

"alitolewa kwa Mungu kama Mnaziri"

tangu alipokuwa tumboni mwako mpaka siku ya kufa kwake

Hii inasisitiza kuwa itakuwa hivi kwa kipindi chote cha maisha yake.