forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
600 B
Markdown
28 lines
600 B
Markdown
|
# Mtu wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa mtu huyu alitumwa na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kuonekana kwake kulikuwa kama malaika wa Mungu, wa kutisha sana.
|
||
|
|
||
|
"Nilimwogopa kwa sababu alionekama kama malaika wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
"sikia"
|
||
|
|
||
|
# Utazaa mtoto mwanaume
|
||
|
|
||
|
"kuzaa mtoto wa kiume" au "kuwa na mtoto wa kiume"
|
||
|
|
||
|
# chakula chochote ambacho sheria inasema kuwa si safi
|
||
|
|
||
|
Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi.
|
||
|
|
||
|
# Mnaziri wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
"alitolewa kwa Mungu kama Mnaziri"
|
||
|
|
||
|
# tangu alipokuwa tumboni mwako mpaka siku ya kufa kwake
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza kuwa itakuwa hivi kwa kipindi chote cha maisha yake.
|