sw_tn/jdg/13/03.md

564 B

kuzaa mtoto mwanaume.

"kuzaa mtoto wa kiume" au "kuwa na mtoto wa kiume"

chochote kilicho najisi

Kitu ambacho Bwana amesema hakifai kuliwa kinaonekana kuwa ni najisi.

Tazama

"sikiliza"

Hakuna wembe itakayotumiwa juu ya kichwa chake

"kichwa" inamaanisha nywele. "Hakuna mtu atakayekata nywele zake"

Wembe

Ni kisu kikali kitumikacho kukata nywele karibu na ngozi.

Mnaziri wa Mungu

"alitolewa kwa Mungu kama Mnaziri"

kutoka tumboni

"kabla hajazaliwa"

mkono wa Wafilisti

"mkono" inamaanisha utawala. "kuwa chini ya utawala wa Wafilisti"