sw_tn/jdg/12/13.md

325 B

Abdoni ... Hileli

Haya ni majina ya wanaume.

Mpirathoni ... Pirathoni

Pirathoni ni jina la mahali, na mtu anayetokea huko anaitwa Mpirathoni.

Walipanda punda sabini

Watu hawa walimiliki punda sabini ambao waliwapanda.

wana arobaini ... wajukuu thelathini ... punda sabini

"wana 40 ... wajukuu 30 ... punda 70"