sw_tn/jdg/12/08.md

302 B

Ibzani

Hili ni jina la mtu toka Betlehemu.

Aliwapeleka binti thelathini katika ndoa

Hii inamaanisha aliwaruhusu binti zake kuolewa.

naye akaleta binti thelathini kutoka nje kwa ajili ya wanawe

"aliandaa mabinti thelathini toka nje ya jamaa yake kwa ajili ya kuolewa na watoto wake wa kiume"