sw_tn/jdg/11/29.md

305 B

Roho wa Bwana akamjia Yeftha

"Roho wa Bwana akamtawala Yeftha"

akapita Gileadi na Manase ... kutoka Mispa ya Gileadi

Yeftha alipita maeneo haya akiorodhesha watu kwa ajili ya jeshi lake kwenda vitani na watu wa Amoni.

Nami nitatoa hiyo sadaka

Kutoa kitu kwa ajili ya sadaka. "Nitakitoa kwako"