sw_tn/jdg/10/15.md

251 B

Wakaiacha miungu ya kigeni

Watu wakaacha kuabudu miungu ya uongo.

miungu ya kigeni waliyokuwa nayo

"miungu ya kigeni ambayo walimiliki sanamu zake"

Naye akawa na subira juu ya taabu ya Israeli.

"Naye hakutaka watu wa Israeli wateseke tena"