forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
508 B
Markdown
24 lines
508 B
Markdown
# wana wa Israeli wakamwita Bwana
|
|
|
|
Hii ina maana kuwa wana wa Israeli waliomba msaada kwa Bwana.
|
|
|
|
# kwa sababu tumemwacha Mungu wetu
|
|
|
|
Watu waliacha kumtii na kumuabudu Bwana, walimuacha na kwenda kuabudu miungu mingine.
|
|
|
|
# tumemwacha Mungu wetu
|
|
|
|
"kukuacha wewe, Mungu wetu"
|
|
|
|
# Je, sikuwatoa ninyi ... Wasidoni?
|
|
|
|
Bwana aliwakemea wana wa Israeli kwa kitendo chao cha kuabudu miungu mingine.
|
|
|
|
# Waamoni
|
|
|
|
Hawa ni watu wa familia ya Amoni.
|
|
|
|
# kutoka katika nguvu zao
|
|
|
|
"Nguvu" inawakilisha Waamaleki na Wamaoni.
|