forked from WA-Catalog/sw_tn
508 B
508 B
wana wa Israeli wakamwita Bwana
Hii ina maana kuwa wana wa Israeli waliomba msaada kwa Bwana.
kwa sababu tumemwacha Mungu wetu
Watu waliacha kumtii na kumuabudu Bwana, walimuacha na kwenda kuabudu miungu mingine.
tumemwacha Mungu wetu
"kukuacha wewe, Mungu wetu"
Je, sikuwatoa ninyi ... Wasidoni?
Bwana aliwakemea wana wa Israeli kwa kitendo chao cha kuabudu miungu mingine.
Waamoni
Hawa ni watu wa familia ya Amoni.
kutoka katika nguvu zao
"Nguvu" inawakilisha Waamaleki na Wamaoni.