sw_tn/jdg/10/08.md

645 B

Kuwaangamiza na kuwadhulumu

Haya maneno mawili yana maana moja ya kusisitiza ni kwa namna gani wana wa Israeli walikuwa wanateseka.

Miaka kumi na nane

"miaka 18"

waliokuwa ng'ambo ya Yordani

Hii inamaanisha waliokuwa mashariki mwa mto Yordani.

iliyoko Gileadi

"huu mji pia uliitwa Gileadi"

Yuda ... Benyamini

"Yuda" na "Benyamini" inasimama badala ya watu waliotoka katika makabila haya. "watu wa kabila la Yuda ... watu wa kabila la Benyamini"

Nyumba ya Efraimu

"nyumba" inasimama badala ya kabila la Efraimu.

Israeli akasumbuliwa sana

"israeli" inasimama badala ya watu wa Israeli. "watu wa Israeli wakateseka sana"