forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
645 B
Markdown
28 lines
645 B
Markdown
|
# Kuwaangamiza na kuwadhulumu
|
||
|
|
||
|
Haya maneno mawili yana maana moja ya kusisitiza ni kwa namna gani wana wa Israeli walikuwa wanateseka.
|
||
|
|
||
|
# Miaka kumi na nane
|
||
|
|
||
|
"miaka 18"
|
||
|
|
||
|
# waliokuwa ng'ambo ya Yordani
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha waliokuwa mashariki mwa mto Yordani.
|
||
|
|
||
|
# iliyoko Gileadi
|
||
|
|
||
|
"huu mji pia uliitwa Gileadi"
|
||
|
|
||
|
# Yuda ... Benyamini
|
||
|
|
||
|
"Yuda" na "Benyamini" inasimama badala ya watu waliotoka katika makabila haya. "watu wa kabila la Yuda ... watu wa kabila la Benyamini"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya Efraimu
|
||
|
|
||
|
"nyumba" inasimama badala ya kabila la Efraimu.
|
||
|
|
||
|
# Israeli akasumbuliwa sana
|
||
|
|
||
|
"israeli" inasimama badala ya watu wa Israeli. "watu wa Israeli wakateseka sana"
|