forked from WA-Catalog/sw_tn
550 B
550 B
Alifuatiwa na Yairi Mgileadi
"Yairi Mgileadi alikuwa kiongozi baada ya Tola"
Yairi
Hili mi jina la mwanaume.
Mgileadi
Yairi alitoka katika kabila la Gileadi.
Akawa mwamuzi wa Israeli.
"kuamua" inamaanisha kuwaongoza watu wa Israeli.
Israeli
"Israeli" inawakilisha watu wa Israeli.
Miaka ishirini
"miaka 20"
Thelathini
"30"
Hawoth Yairi
Hili ni jina la mji lililotokana na jina la mtu.
hata leo
Hii inamaanisha wakati ambao kitabu cha waamuzi kinaandikwa.
Akazikwa
"wakamzika"
Kamoni
Hili ni jina la mahali.