sw_tn/jdg/10/03.md

550 B

Alifuatiwa na Yairi Mgileadi

"Yairi Mgileadi alikuwa kiongozi baada ya Tola"

Yairi

Hili mi jina la mwanaume.

Mgileadi

Yairi alitoka katika kabila la Gileadi.

Akawa mwamuzi wa Israeli.

"kuamua" inamaanisha kuwaongoza watu wa Israeli.

Israeli

"Israeli" inawakilisha watu wa Israeli.

Miaka ishirini

"miaka 20"

Thelathini

"30"

Hawoth Yairi

Hili ni jina la mji lililotokana na jina la mtu.

hata leo

Hii inamaanisha wakati ambao kitabu cha waamuzi kinaandikwa.

Akazikwa

"wakamzika"

Kamoni

Hili ni jina la mahali.