sw_tn/jdg/09/55.md

332 B

Sabini

"70"

akafanya uovu wote wa watu wa Shekemu ugeuke juu ya vichwa vyao wenyewe

"uovu wao ukawarudia juu ya vichwa vyao" "kuwaadhibu watu wa Shekemu kwa uovu waliofanya"

juu yao ilikuja laana ya Yothamu mwana wa Yerubaali

"laana ya Yothamu mwana wa Yerubaali ikawapata"

Yerubaali

Hili ni jina lingine la Gideoni.