forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
912 B
Markdown
36 lines
912 B
Markdown
# Gaali ... Ebedi
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Abimeleki ni nani, na Shekemu ni nani, hata tumtumikie?
|
|
|
|
Gaali anatumia swali kusisitiza kuwa watu wa Shekemu hawawezi kumtumikia Abimeleki.
|
|
|
|
# Abimeleki ni nani, na Shekemu ni nani,
|
|
|
|
Maswali haya yanamaana moja. Gaali anamuelezea Abimeleki kama Shekemu maana mama yake na Abimeleki alitoka Shekemu.
|
|
|
|
# Je, si mwana wa Yerubaali? Na Zebuli si afisa wake?
|
|
|
|
Gaali anatumia swali kusisitiza kuwa watu wa Shekemu hawawezi kumtumikia Abimeleki.
|
|
|
|
# Yerubaali
|
|
|
|
Hili ni jina lingine la Gideoni.
|
|
|
|
# Zebuli
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
|
|
|
# Watumikieni watu wa Hamori, baba yake Shekemu
|
|
|
|
Gaali anamaanisha watu wa Shekemu wawatumikie watu wa uzao wa Hamori.
|
|
|
|
# Kwa nini tunapaswa kumtumikia?
|
|
|
|
Gaali anatumia swali kusisitiza kuwa watu wa Shekemu hawawezi kumtumikia Abimeleki.
|
|
|
|
# Laiti watu hawa wangekukuwa chini ya amri yangu
|
|
|
|
"natamani ningekuwa nawatawala watu wa Shekemu"
|