sw_tn/jdg/09/28.md

912 B

Gaali ... Ebedi

Haya ni majina ya wanaume.

Abimeleki ni nani, na Shekemu ni nani, hata tumtumikie?

Gaali anatumia swali kusisitiza kuwa watu wa Shekemu hawawezi kumtumikia Abimeleki.

Abimeleki ni nani, na Shekemu ni nani,

Maswali haya yanamaana moja. Gaali anamuelezea Abimeleki kama Shekemu maana mama yake na Abimeleki alitoka Shekemu.

Je, si mwana wa Yerubaali? Na Zebuli si afisa wake?

Gaali anatumia swali kusisitiza kuwa watu wa Shekemu hawawezi kumtumikia Abimeleki.

Yerubaali

Hili ni jina lingine la Gideoni.

Zebuli

Hili ni jina la mwanaume.

Watumikieni watu wa Hamori, baba yake Shekemu

Gaali anamaanisha watu wa Shekemu wawatumikie watu wa uzao wa Hamori.

Kwa nini tunapaswa kumtumikia?

Gaali anatumia swali kusisitiza kuwa watu wa Shekemu hawawezi kumtumikia Abimeleki.

Laiti watu hawa wangekukuwa chini ya amri yangu

"natamani ningekuwa nawatawala watu wa Shekemu"