sw_tn/jdg/09/25.md

247 B

wakawaweka wanaume wakimsubiri juu ya vilima ili wamwangamize

"akatuma watu wajifiche kwenye vilima na wasubiri kumuangamiza Abimeleki"

Hii iliripotiwa kwa Abimeleki

"kuna mtu alimwambia Abimeleki kuhusu watu wanaomsubiri ili wamwangamize"