sw_tn/jdg/09/25.md

8 lines
247 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# wakawaweka wanaume wakimsubiri juu ya vilima ili wamwangamize
"akatuma watu wajifiche kwenye vilima na wasubiri kumuangamiza Abimeleki"
# Hii iliripotiwa kwa Abimeleki
"kuna mtu alimwambia Abimeleki kuhusu watu wanaomsubiri ili wamwangamize"