sw_tn/jdg/09/07.md

525 B

Taarifa ya jumla:

Yotamu anaanza kuelezea fumbo ambalo miti inafananishwa na makundi mbalimbali ya watu.

Yotamu alipoambiwa juu ya jambo hilo

"Yotamu aliposikia kuwa Abimeleki amemuua ndugu yake"

Mlima Gerizimu

Huu ni mlima.

Siku moja miti ilikwenda kumtia mafuta mfalme juu yao. Wakauambia mzeituni, tawala juu yetu.

Miti inazungumziwa kwa kufananishwa na watu.

kumtia mafuta mfalme juu yao

Kutia mafuta ni ishara ya kuwakilisha kitendo cha kumteua mtu kuwa mfalme.

Tawala juu yetu

"kuwa mfalme wetu"