forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
525 B
Markdown
24 lines
525 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yotamu anaanza kuelezea fumbo ambalo miti inafananishwa na makundi mbalimbali ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Yotamu alipoambiwa juu ya jambo hilo
|
||
|
|
||
|
"Yotamu aliposikia kuwa Abimeleki amemuua ndugu yake"
|
||
|
|
||
|
# Mlima Gerizimu
|
||
|
|
||
|
Huu ni mlima.
|
||
|
|
||
|
# Siku moja miti ilikwenda kumtia mafuta mfalme juu yao. Wakauambia mzeituni, tawala juu yetu.
|
||
|
|
||
|
Miti inazungumziwa kwa kufananishwa na watu.
|
||
|
|
||
|
# kumtia mafuta mfalme juu yao
|
||
|
|
||
|
Kutia mafuta ni ishara ya kuwakilisha kitendo cha kumteua mtu kuwa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Tawala juu yetu
|
||
|
|
||
|
"kuwa mfalme wetu"
|