sw_tn/jdg/08/18.md

246 B

Zeba na Salmuna

Haya ni majina ya wanaume.

Tabori

Hili ni jina la mji.

Kama wewe ulivyo, ndivyo walivyokuwa

"walikuwa kama wewe ulivyo"

Kama Bwana aishivyo

Hiki ni kiapo cha dini kinachoonesha kuwa anachotaka kuzungumza ni ukweli.